Location via proxy:   [ UP ]  
[Report a bug]   [Manage cookies]                

Kifungoni Quotes

Quotes tagged as "kifungoni" Showing 1-1 of 1
Enock Maregesi
“Shetani na wafuasi wake wako kifungoni sasa hivi kwa sababu dhambi walizotenda hazisameheki. Dhambi ya kumkana Mungu na kumkubali Shetani haisameheki. Kwa maana nyingine, ukimuuzia Shetani roho yako jina lako halitaandikwa katika kitabu cha uzima litaandikwa katika kitabu cha mauti. Ukibidika kuuza roho, usimuuzie Shetani, muuzie Yesu.”
Enock Maregesi